Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » , » SHILOLE AFUNGUKA NINI MAANA YAKE KWA KUNYONYWA MAZIWA NA KUCHEZA NUSU UCHI JUKWAANI

SHILOLE AFUNGUKA NINI MAANA YAKE KWA KUNYONYWA MAZIWA NA KUCHEZA NUSU UCHI JUKWAANI

Msanii wa filamu na muziki nchini, Shilole amefunguka kwa kusema anafanya muziki wa kucheza na wanaume jukwaani ili kukidhi mahitaji ya aina ya burudani wanayoihitaji watu wake
Akizungumza na mtandao huu leo akiwa Moshi, Shilole amesema anafanya  muziki kulingana na mahitaji ya mashabiki wake na si kwa kusikiliza  mawazo ya mtu mmoja mmoja yasiyokuwa na manufaa kwenye muziki wake.clip_image001“Nafanya muziki anaofanya Shilole peke yake,na wapenzi wengi wa  muziki wangu wanafurahishwa na kitendo cha kuwapandisha vijana na  kucheza nao, hii inaleta mzuka kwangu na kwa wapenzi wa burudani,”  amesema.clip_image001[5]“Ninavyowapandisha vijana na kucheza nao huku wamenishika au  tumeshikana ndio wanaona hatari? Mbona ni mambo ambayo yanafanyika  kwenye show mbalimbali, pia ili kuleta uhalisia wa show ni lazima  mshikane kidogo,kwa wale ambao wanaona kama naharibu ni washamba tu.”clip_image001[7]
 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa