AKIONGEA NA MTANDAO HUU WA PAPARAZI RAYUU KASEMA TATOO HIYO ILIYO CHORWA KUZUNGUKA KIUNO KIZIMA IMEMGHARIMU KIASI CHA TSH.LAKI TATU NA ZAIDI.
NI TOFAUTI NA TATOO ZINGINE KAMA YA SHINGONI NA KWENYE BEGA AMBAZO ZOTE NI CHINI YA HIYO BEI....
MTAZAMO
wewe kama mdau ,kwa huyu msichana mdogo ..Je ni sahii kufanya hiki alichokifanya..?