Jeshi la polisi mkoani Morogoro limekanusha madai ya kuhusika na kumpiga risasi begani, katibu wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini, sheikh Ponda Issa Ponda, na kwamba iwapo sheikh huyo anaamini kufanyiwa hivyo, ajitokeze na kuthibitisha kauli hizo ambazo zimeendelea kutolewa na wafuasi wake.
CHEKI VIDEO HAPA CHINI...
Home
»
mtaa kwa mtaa
»
VIDEO YA JESHI LA POLISI MOROGORO WAKIKANUSHA KUMPIGA RISASI SHEIKH PONDA