Msanii nyota kwenye kiwanda cha filamu za kibongo nchini Zuwena Mohamed “ Shilole”
mwishoni mwa wiki iliyopita alionja joto ya jiwe baada ya kutiwa mtu kati na wakina
dada waliokuwa wanamdai kiasi kikubwa cha pesa.
mwishoni mwa wiki iliyopita alionja joto ya jiwe baada ya kutiwa mtu kati na wakina
dada waliokuwa wanamdai kiasi kikubwa cha pesa.
Habari za uhakika zilizothibitishwa na mmoja wa wakina dada hao waliokuwa wanamdai
zilisema kuwa wanawake hao waliamua kuchukua hatua za kumtia adabu Shilole baada ya
kupata taarifa kuwa siku hiyo alikuwa ana hama kwa kukimbia na teni lao “ Ishu ilikuwa
hivi sisi tunamdai huyu dada lakini cha kushangaza amekuwa akitupiga chenga sana
na ona alivyokuwa sio mstaarabu kumbe siku hiyo alikuwa anahama na deni letu ndio
maana tuliamua kwenda kumzingua” Alisema dada huyo aliomba hifadhi ya jina lake.
zilisema kuwa wanawake hao waliamua kuchukua hatua za kumtia adabu Shilole baada ya
kupata taarifa kuwa siku hiyo alikuwa ana hama kwa kukimbia na teni lao “ Ishu ilikuwa
hivi sisi tunamdai huyu dada lakini cha kushangaza amekuwa akitupiga chenga sana
na ona alivyokuwa sio mstaarabu kumbe siku hiyo alikuwa anahama na deni letu ndio
maana tuliamua kwenda kumzingua” Alisema dada huyo aliomba hifadhi ya jina lake.

Dada huyo aliendelea kufunguka mengi kuhusu sakata hilo “ Unajua sisi tunafanya biashara
zetu hivyo kuna siku Shillole alikuja na kusema amekwama kipesa hivyo tumuazime pesa
na tukafanya hivyo lakini cha kushangaza mwezi wa sita huu hataki kurudisha na amekuwa
akitukwepa mara kwa mara hivyo majirani ndio wakatushtua kuwa anataka kuhama kwa
staili ya kutoroka na deni letu ndipo tulipoenda wanawake wane na kushushia kipigo”
Alisema dada huyo
Baada ya taarifa hizo Xdeejayz ilimtafuta Shilole kupita simu yake ya mkononi pamoja nazetu hivyo kuna siku Shillole alikuja na kusema amekwama kipesa hivyo tumuazime pesa
na tukafanya hivyo lakini cha kushangaza mwezi wa sita huu hataki kurudisha na amekuwa
akitukwepa mara kwa mara hivyo majirani ndio wakatushtua kuwa anataka kuhama kwa
staili ya kutoroka na deni letu ndipo tulipoenda wanawake wane na kushushia kipigo”
Alisema dada huyo
kupita kwenye makoloni yake lakini hakuweza kupatikani isipokuwa majirani mbalimbali
walikili kutokea kwa tukio hilo la kufedhehesha kwa mwanamuziki huyo.

