Linah Keza enzi za uhai wake
Mrembo Linah Keza amekutwa amekufa kwa kuchomwa visu huku binti yake wa miaka mitatu 'akilia pembeni yake kwenye dimbwi la damu'.
Mwili wa Linah Keza, mwenye miaka 29, ambaye inafahamika alishiriki kwenye Shindano la Miss Africa 2010, ulikutwa kwenye ghorofa moja huko King Edward Road, Leyton, juzi mapema asubuhi.
Mwili wa Linah Keza, mwenye miaka 29, ambaye inafahamika alishiriki kwenye Shindano la Miss Africa 2010, ulikutwa kwenye ghorofa moja huko King Edward Road, Leyton, juzi mapema asubuhi.