Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » , , » JE WAJUA..? MADHARA YA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFU.

JE WAJUA..? MADHARA YA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFU.

Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
• kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,
• Kupendelea story za mapenzi,

• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.
 
 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa