Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » » MBUNGE WA IRINGA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUCHOCHEA VURUGU MKOANI IRINGA

MBUNGE WA IRINGA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUCHOCHEA VURUGU MKOANI IRINGA

Mbunge Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea chumba cha mahakama
Mbunge Msigwa akiwa na gazeti mkononi baada ya kufikishwa mahakamani leo
Watuhumiwa wengine wa vurugu za machinga na polisi wakishuka katika karandinga la polisi


Wakili wa Msigwa kulia akiteta jambo nje ya mahakama
Kada wa Chadema Frank Mwaisumbe akiingia na viongozi wengine wa chadema mahakamani hapo huku wafuasi wao wakizuiwa nje ya mahakama
Wafuasi wa Chadema wakiwa wamezuiliwa nje ya viwanja vya mahakama kuu kanda ya Iringa wakati mbunge alipofikishwa katika mahakamani mchana huu
Ulinzi mkali kweli kweli 
 
picha hizi za chini ni za tukio alilolifanya mkoani Iringa



 mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwasili  eneo la vurugu kabla  ya kuanza kwa  vurugu  hizo

 Mbunge Msigwa akiondoka  eneo la mashine  tatu 

 Machinga  wakisukuma gari ya  mbunge Msigwa 

 Polisi  wakimfuatilia  mbunge Msigwa kwa  nyuma baada ya  kufika eneo hilo  bila kufanya biashara kama alivyoahidi

Polisi  wakianza  kufukuza  wananchi  eneo hilo



 Abiria  na  wapiga  debe  stendi kuu  wakinawa maji baada ya  kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha  na askari  wa FFU leo


Hali  ikiendelea  kuwa  tete  kwa machinga  kufunga barabara  kuu  ya  Iringa  Dodoma na ile ya mashine  tatu
 
Ni Machafuko  Iringa  hivi  leo








 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa