Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » » MTAZAMO:JE HUU NI UVAAJI SAHII WA KUENDEA KWENYE KUMBI ZA STAREHE?

MTAZAMO:JE HUU NI UVAAJI SAHII WA KUENDEA KWENYE KUMBI ZA STAREHE?




 
Mtazamo wangu juu ya hizi nguo wanazovaa hawa dada zetu wa 'KILEO' unavunja sana heshima kwao na kuonekana hawana thamani teo...ndio maana wanadhalaulika na kuonekana kila wakati hawana mchango katika jamii na badala yake wanaonekana wako chini ya wanaume hata kimawazo...
Hii inatokana na woa wanavyojiweka katika jamii husika,kwa mfano unamkuta mama mtu mzima amevaa nuo za aibu kwenye kumbi za starehe wakati hapo alipo yuko na vijana wengine ni wadogo kwa lika lake

 mfano 

>>BOFYA HAPA<< kwa mwendelezo wa picha hizi na habari hii


HUU NI MTAZAMO!! WEWE MSOMAJI UNAONAJE JE NI SAWA KWA DADA ZETU KUFANYA HAYA WANAYO YA FANYA???
TOA MAONI HAPO CHINI....! KWA MTAZAMO WAKO
 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa