Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » » MAMA LINEX AMKATAA MCHUMBA WA KIZUNGU WA LINEX

MAMA LINEX AMKATAA MCHUMBA WA KIZUNGU WA LINEX

Sunday Mangu ‘Linex’ akiwa na mchumba wake Suvi Rikka.
 
SIKU chache baada ya Mbongo Fleva, Sunday Mangu ‘Linex’ kumvisha pete ya uchumba demu wake mtasha, Suvi Rikka, mama wa staa huyo, Imelda Barnabas ameibuka na kumchana mwanaye kuwa haitambui pete wala mchumba huyo kwa kuwa kitendo hicho hakina baraka zake wala za familia.

Shemeji yetu katika pose

Linex alipoulizwa juu ya sakata hilo, alifunguka:
“Yah! Bi mkubwa amenijia juu ile mbaya, ila najitahidi kumuomba msamaha, hope atanielewa.”

 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa