Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » » LULU AGEUKA DIRECTOR 'KWA KUWAONGOZA WASANII WENZAKE' MAHAKAMANI

LULU AGEUKA DIRECTOR 'KWA KUWAONGOZA WASANII WENZAKE' MAHAKAMANI


KATIKA hali ya kushangaza, kinda adimu kwenye filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aligeuka kuwa dairekta wa kuwaongoza wasanii wenzake waliokwenda kushuhudia kesi ya Kajala Masanja.

Tukio hilo lilitokea Jumatatu iliyopita katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar ambapo wakati kesi ikiendelea, Lulu alisikika akiwaelekeza taratibu za mahakamani huku wenzake wakimtii.


“Sikilizeni niwaambie hapa mnatakiwa kunisikiliza mimi, hili suala litakwisha ndani ya muda mfupi hakimu atatoa hukumu, mimi najua siyo muda mrefu kuanzia sasa,” alisikika Lulu.
 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa