Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » » BREAKING NEWS!!!!! MWANDISHI WA HABARI WA ITV&RADIO ONE UFOO SARO AMEPIGWA RISASI , MAMA YAKE MZAZI KUUWAWA PAPO HAPO....SOMA HABARI KAMILI HAPA

BREAKING NEWS!!!!! MWANDISHI WA HABARI WA ITV&RADIO ONE UFOO SARO AMEPIGWA RISASI , MAMA YAKE MZAZI KUUWAWA PAPO HAPO....SOMA HABARI KAMILI HAPA

Pichani ni mtangazaji wa kituo cha Television cha ITV Ufo Saro katika picha ya pamoja na Rais Jakaya Kikwete alipokutana na waandishi mbalimbali Ikulu Decemba 12, 2012
---------------------------------------
Kuna taarifa kwamba mtangazaji wa kituo cha Television cha ITV (Ufoo Saro) amepigwa risasi na kujeruhiwa vibaya huko maeneo ya Kibamba leo Alfajiri na mama yake mzazi kuuliwa.

Habari zaidi zinasema kwamba aliyefyatua Risasi hizo ni mchumba wa Mtangazaji huyo anayefanya kazi katika shirika moja la UN, ambaye baada ya tukio hilo naye alijipiga risasi na kujiua.

 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa