Pata Habari Motomoto kwa kuandika E-mail yako hapo chini.


Home » » HATIMAYE RAY C ANUNUA GARI JIPYA...LITIZAME HAPA

HATIMAYE RAY C ANUNUA GARI JIPYA...LITIZAME HAPA


STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray C’  ameamua kuianika  gari  yake  ambayo anatembelea kwa sasa ...

Gari  hilo  ni aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… Jaguar don't care...CHL means Chalamila Family..... 

Pongezi  za  kutosha  zikufikie  Ray C  popote  ulipo. Huo  ni  mwanzo  mzuri  baada  ya  mateso  ya  madawa  ya  kulevya  yaliyokufanya  uwe  teja
 

Copyright © 2009. MCHAMBUZI - Haki zote zimehifadhiwa