Ni kitu kizuri kuona binadamu yeyote anapojisogeza karibu zaidi na Mungu, mwigizaji/mchekeshaji staa wa Tanzania ambae kwa sas
Katika kijiji kipya atakachohamia siku kadhaa zijazo huko Tanga, Mzee huyu ameamua kujenga msikiti mdogo mpya wa matofali ya cement ambao atautumia kuswali pamoja na watu wengine ambapo mwanzoni alikua amejenga huo wa udongo hapo juu lakini akabadili mawazo hata kabla ya kuanza kuutumia, sasa anajenga wa kisasa zaidi.





Hapa bado haijakamilika, ni stage ambayo kukamilika kwake inachukua siku kumi ikiwa inatengenezwa… ni stage ambayo itakua na winch ya kupandisha wasanii kuja kufanya show, kutakua na screen za kisasa zaidi kuonyesha kila kinachoonekana kwenye stage..
Kama unavyoona kwa mbali, kwa mara ya kwanza Fiesta hii backstage yake imejengewa nyumba ya kisasa zaidi na ndefu kwenda juu, ndani yake kutakua na baa, screen kubwa, makochi ya kisasa kwa ajili ya watakaokuwepo hapo.

Hii ni stage nyingine

Ukiangalia kwa makini hapa kuna stage mbili kubwa ambazo zimeunganishwa na barabara ambayo inamuwezesha msanii kutembea juu huku mashabiki wakiwa pembeni kulia na kushoto yani…
Hivyo ni baadhi tu ya vitu nimeamua kukupa kwa sasa mtu wangu,






























